• Have any questions?
  • +255 752 870 339
  • info@kellusec.ac.tz
News Data
February 11 , 2024
Published by: Staff
Kujiunga kidato cha 1 na cha 3

Shule ya Kellu Hill secondari ina wakaribisha wazazi wote kuwaleta vijana wao wa kike na wakiume kujiunga kidato cha kwanza na wale wanao hamia kidato cha tatu. Utaratibu ni mrahisi sana kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha tatu. Karibuni sana. Kwa mawsiliano zaidi piga simu zilizopo katika wavuti hii.

Kujiunga kidato cha 1 na cha 3

Shule ya Kellu Hill secondari ina wakaribisha wazazi wote kuwaleta vijana wao wa kike na wakiume kujiunga kidato cha kwanza na wale wanao hamia kidato cha tatu. Utaratibu ni mrahisi sana kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha tatu. Karibuni sana. Kwa mawsiliano zaidi piga simu zilizopo katika wavuti hii.